Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 23:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sasa Paulo alipojua kwamba sehemu moja ilikuwa ya Masadukayo+ lakini ile nyingine ya Mafarisayo, akapaaza sauti katika Sanhedrini hiyo: “Wanaume, akina ndugu, mimi ni Farisayo,+ mwana wa Mafarisayo. Ninahukumiwa+ juu ya tumaini la ufufuo+ wa wafu.”

  • Wagalatia 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini nilipoona kwamba hawakuwa wakitembea kwa unyoofu kulingana na kweli ya habari njema,+ nilimwambia Kefa mbele yao wote:+ “Ikiwa wewe, ingawa ni Myahudi, unaishi kama vile mataifa wanavyoishi, na si kama Wayahudi wanavyoishi, kwa nini wewe unawalazimisha watu wa mataifa kuishi kulingana na mazoea ya Kiyahudi?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki