-
Matendo 23:6Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
6 Sasa Paulo alipojua kwamba sehemu moja ilikuwa ya Masadukayo lakini ile nyingine ya Mafarisayo, akaanza kupaaza kilio katika hiyo Sanhedrini: “Wanaume, akina ndugu, mimi ni Farisayo, mwana wa Mafarisayo. Juu ya tumaini la ufufuo wa wafu ninahukumiwa.”
-