- 
	                        
            
            Matendo 23:6Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
- 
                            - 
                                        6 Sasa Paulo alipojua kwamba sehemu moja ilikuwa ya Masadukayo lakini ile nyingine ya Mafarisayo, akaanza kupaaza kilio katika hiyo Sanhedrini: “Wanaume, akina ndugu, mimi ni Farisayo, mwana wa Mafarisayo. Juu ya tumaini la ufufuo wa wafu ninahukumiwa.” 
 
-