Matendo 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na sauti ikasema tena naye, mara ya pili: “Wewe acha kuviita najisi+ vitu ambavyo Mungu ametakasa.” Matendo 10:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ndipo Petro akafungua kinywa chake na kusema: “Kwa hakika ninaona kwamba Mungu hana ubaguzi,+ Wagalatia 3:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Hakuna Myahudi wala Mgiriki,+ hakuna mtumwa wala mtu huru,+ hakuna mwanamume wala mwanamke;+ kwa maana ninyi nyote ni mtu mmoja katika muungano na Kristo Yesu.+
15 Na sauti ikasema tena naye, mara ya pili: “Wewe acha kuviita najisi+ vitu ambavyo Mungu ametakasa.”
28 Hakuna Myahudi wala Mgiriki,+ hakuna mtumwa wala mtu huru,+ hakuna mwanamume wala mwanamke;+ kwa maana ninyi nyote ni mtu mmoja katika muungano na Kristo Yesu.+