Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa mabwana,+ Mungu mkuu, mwenye nguvu na mwenye kuogopesha,+ asiyemtendea yeyote kwa upendeleo+ wala kukubali rushwa,+

  • 2 Mambo ya Nyakati 19:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na sasa hofu+ ya Yehova na iwe juu yenu.+ Iweni waangalifu na mtende,+ kwa maana hakuna ukosefu wowote wa uadilifu+ wala ubaguzi+ wala kuchukua rushwa kwa upande wa Yehova Mungu wetu.”+

  • Ayubu 34:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Yupo Yeye ambaye hajaonyesha upendeleo kwa wakuu

      Wala hakumwonyesha mwenye cheo ufikirio kuliko yule wa hali ya chini,+

      Kwa maana wao wote ni kazi ya mikono yake.+

  • Waroma 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana hakuna ubaguzi kwa Mungu.+

  • Wagalatia 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini kwa upande wa wale walioonekana kuwa ni kitu+—hata kama walikuwa watu wa namna gani hapo zamani haileti tofauti yoyote kwangu+—Mungu hafuati sura ya nje+ ya mwanadamu—kwangu, kwa kweli, hao watu wenye kutokeza hawakunipa jambo lolote jipya.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki