17 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa mabwana,+ Mungu mkuu, mwenye nguvu na mwenye kuogopesha,+ asiyemtendea yeyote kwa upendeleo+ wala kukubali rushwa,+
7 Na sasa hofu+ ya Yehova na iwe juu yenu.+ Iweni waangalifu na mtende,+ kwa maana hakuna ukosefu wowote wa uadilifu+ wala ubaguzi+ wala kuchukua rushwa kwa upande wa Yehova Mungu wetu.”+
6 Lakini kwa upande wa wale walioonekana kuwa ni kitu+—hata kama walikuwa watu wa namna gani hapo zamani haileti tofauti yoyote kwangu+—Mungu hafuati sura ya nje+ ya mwanadamu—kwangu, kwa kweli, hao watu wenye kutokeza hawakunipa jambo lolote jipya.