Ayubu 34:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yupo Yeye ambaye hajaonyesha upendeleo kwa wakuuWala hakumwonyesha mwenye cheo ufikirio kuliko yule wa hali ya chini,+Kwa maana wao wote ni kazi ya mikono yake.+ Matendo 10:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ndipo Petro akafungua kinywa chake na kusema: “Kwa hakika ninaona kwamba Mungu hana ubaguzi,+ Waroma 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana hakuna ubaguzi kwa Mungu.+ Waefeso 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Pia, enyi mabwana, endeleeni kuwatendea wao mambo hayohayo, na mwache kutisha,+ kwa maana mnajua kwamba Bwana wao na wenu+ pia yuko mbinguni, naye hana ubaguzi+ wowote.
19 Yupo Yeye ambaye hajaonyesha upendeleo kwa wakuuWala hakumwonyesha mwenye cheo ufikirio kuliko yule wa hali ya chini,+Kwa maana wao wote ni kazi ya mikono yake.+
9 Pia, enyi mabwana, endeleeni kuwatendea wao mambo hayohayo, na mwache kutisha,+ kwa maana mnajua kwamba Bwana wao na wenu+ pia yuko mbinguni, naye hana ubaguzi+ wowote.