5 ambao walinifahamu tangu mwanzo wanajua, kama tu wangetaka kutoa ushahidi, kwamba kulingana na usahihi kabisa wa madhehebu+ ya namna yetu ya ibada mimi niliishi nikiwa Farisayo.+
5 nilitahiriwa siku ya nane,+ kutoka katika ukoo wa familia ya Israeli, wa kabila la Benyamini,+ Mwebrania aliyezaliwa kwa Waebrania;+ kwa habari ya sheria, Farisayo;+