Waroma 8:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Ni nani atakayetutenga na upendo wa Kristo?+ Je, ni dhiki au taabu au mateso au njaa au uchi au hatari au upanga?+ Waebrania 10:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 nyakati fulani mkifunuliwa wazi kama katika jumba la maonyesho+ kwenye shutuma na dhiki pia, na nyakati fulani mlipokuwa washiriki pamoja na wale waliokuwa wakipatwa na jambo la namna hiyo.+
35 Ni nani atakayetutenga na upendo wa Kristo?+ Je, ni dhiki au taabu au mateso au njaa au uchi au hatari au upanga?+
33 nyakati fulani mkifunuliwa wazi kama katika jumba la maonyesho+ kwenye shutuma na dhiki pia, na nyakati fulani mlipokuwa washiriki pamoja na wale waliokuwa wakipatwa na jambo la namna hiyo.+