Ayubu 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na jicho langu linaingia giza kutokana na usumbufu+Na viungo vyangu vyote ni kama kivuli. Zaburi 31:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Unionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana niko katika dhiki kali.+Mambo yenye kukera yamefanya jicho langu liwe dhaifu,+ naam, nafsi yangu na tumbo langu.+
9 Unionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana niko katika dhiki kali.+Mambo yenye kukera yamefanya jicho langu liwe dhaifu,+ naam, nafsi yangu na tumbo langu.+