Zaburi 31:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana niko katika dhiki. Maumivu makali yamefanya macho yangu yadhoofike,+ na pia mwili wangu wote.*+
9 Nionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana niko katika dhiki. Maumivu makali yamefanya macho yangu yadhoofike,+ na pia mwili wangu wote.*+