Zaburi 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana mimi ninafifia.+Niponye,+ Ee Yehova, kwa maana mifupa yangu imesumbuka. Zaburi 22:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nimemwagwa kama maji,+Na mifupa yangu yote imetenganishwa.+Moyo wangu umekuwa kama nta;+Umeyeyuka ndani katika sehemu zangu za ndani.+
2 Nionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana mimi ninafifia.+Niponye,+ Ee Yehova, kwa maana mifupa yangu imesumbuka.
14 Nimemwagwa kama maji,+Na mifupa yangu yote imetenganishwa.+Moyo wangu umekuwa kama nta;+Umeyeyuka ndani katika sehemu zangu za ndani.+