Kumbukumbu la Torati 20:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nao maofisa watazidi kusema na watu na kuwaambia, ‘Ni nani mwoga na mwenye moyo dhaifu?+ Na aende na kurudi nyumbani kwake, asije akasababisha mioyo ya ndugu zake iyeyuke kama moyo wake mwenyewe.’+ Mathayo 26:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Ndipo akawaambia: “Nafsi yangu ina huzuni sana, kiasi cha kufa.+ Kaeni hapa na mwendelee kukesha pamoja nami.”+ Marko 14:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Akamchukua Petro na Yakobo na Yohana+ pamoja naye, naye akaanza kufadhaika na kutaabika sana.+
8 Nao maofisa watazidi kusema na watu na kuwaambia, ‘Ni nani mwoga na mwenye moyo dhaifu?+ Na aende na kurudi nyumbani kwake, asije akasababisha mioyo ya ndugu zake iyeyuke kama moyo wake mwenyewe.’+
38 Ndipo akawaambia: “Nafsi yangu ina huzuni sana, kiasi cha kufa.+ Kaeni hapa na mwendelee kukesha pamoja nami.”+