Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 20:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nao maofisa watazidi kusema na watu na kuwaambia, ‘Ni nani mwoga na mwenye moyo dhaifu?+ Na aende na kurudi nyumbani kwake, asije akasababisha mioyo ya ndugu zake iyeyuke kama moyo wake mwenyewe.’+

  • Mathayo 26:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Ndipo akawaambia: “Nafsi yangu ina huzuni sana, kiasi cha kufa.+ Kaeni hapa na mwendelee kukesha pamoja nami.”+

  • Marko 14:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Akamchukua Petro na Yakobo na Yohana+ pamoja naye, naye akaanza kufadhaika na kutaabika sana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki