Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 13:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na humo tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki,+ waliotoka kwa Wanefili; hivi kwamba sisi tukawa machoni petu wenyewe kama panzi, na machoni pao sisi tukawa vivyo hivyo.”+

  • Hesabu 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo kusanyiko lote likapaaza sauti zao, nao watu wakazidi kupaaza sauti zao na kulia+ usiku kucha.

  • Hesabu 32:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Walipoenda kwenye bonde la mto la Eshkoli+ na kuiona nchi, ndipo walipowavunja moyo wana wa Israeli, ili wasiingie katika nchi ambayo kwa hakika Yehova angewapa.+

  • Kumbukumbu la Torati 1:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Tunapanda kwenda wapi? Ndugu zetu wameufanya moyo wetu uyeyuke,+ kwa kusema: “Tuliona huko watu wakubwa zaidi na warefu zaidi kuliko sisi,+ majiji makubwa na yaliyotiwa ngome mpaka mbinguni+ na pia wale wana wa Waanaki.”’+

  • Matendo 21:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo Paulo akajibu: “Mnafanya nini kwa kulia+ na kunifanya dhaifu moyoni?+ Muwe na hakika, niko tayari si kufungwa tu bali pia kufa+ Yerusalemu kwa ajili ya jina la Bwana Yesu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki