Hesabu 13:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na humo tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki,+ waliotoka kwa Wanefili; hivi kwamba sisi tukawa machoni petu wenyewe kama panzi, na machoni pao sisi tukawa vivyo hivyo.”+ Kumbukumbu la Torati 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 (Waemi+ walikaa humo nyakati za kale, watu wakubwa na wengi sana na warefu kama Waanaki.+
33 Na humo tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki,+ waliotoka kwa Wanefili; hivi kwamba sisi tukawa machoni petu wenyewe kama panzi, na machoni pao sisi tukawa vivyo hivyo.”+