Hesabu 13:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na humo tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki,+ waliotoka kwa Wanefili; hivi kwamba sisi tukawa machoni petu wenyewe kama panzi, na machoni pao sisi tukawa vivyo hivyo.”+ Yoshua 14:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Jina la Hebroni hapo mwanzoni lilikuwa Kiriath-arba+ (huyo Arba+ alikuwa mwanamume mkuu kati ya Waanaki). Na nchi haikusumbuliwa na vita tena.+
33 Na humo tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki,+ waliotoka kwa Wanefili; hivi kwamba sisi tukawa machoni petu wenyewe kama panzi, na machoni pao sisi tukawa vivyo hivyo.”+
15 Jina la Hebroni hapo mwanzoni lilikuwa Kiriath-arba+ (huyo Arba+ alikuwa mwanamume mkuu kati ya Waanaki). Na nchi haikusumbuliwa na vita tena.+