9 Walipoenda kwenye bonde la mto la Eshkoli+ na kuiona nchi, ndipo walipowavunja moyo wana wa Israeli, ili wasiingie katika nchi ambayo kwa hakika Yehova angewapa.+
8 Nao maofisa watazidi kusema na watu na kuwaambia, ‘Ni nani mwoga na mwenye moyo dhaifu?+ Na aende na kurudi nyumbani kwake, asije akasababisha mioyo ya ndugu zake iyeyuke kama moyo wake mwenyewe.’+