2 Wakorintho 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sikuzote kila mahali katika mwili wetu tunavumilia matendo yenye kuleta kifo ambayo Yesu alitendewa,+ ili uzima wa Yesu ufunuliwe pia katika mwili wetu.+ 2 Timotheo 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana mimi tayari ninamiminwa kama toleo la kinywaji,+ na wakati unaofaa wa kufunguliwa+ kwangu umekaribia sana.
10 Sikuzote kila mahali katika mwili wetu tunavumilia matendo yenye kuleta kifo ambayo Yesu alitendewa,+ ili uzima wa Yesu ufunuliwe pia katika mwili wetu.+
6 Kwa maana mimi tayari ninamiminwa kama toleo la kinywaji,+ na wakati unaofaa wa kufunguliwa+ kwangu umekaribia sana.