Danieli 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na wakati huo, kwa habari ya mfalme, sura yake ikabadilika, mawazo yake yakaanza kumwogopesha,+ viungo vya viuno vyake vikalegea,+ magoti yake yakawa yanagongana.+ Luka 22:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Lakini akaingia katika maumivu makali, akaendelea kusali kwa bidii zaidi;+ na jasho lake likawa kama matone ya damu yakianguka chini.+
6 Na wakati huo, kwa habari ya mfalme, sura yake ikabadilika, mawazo yake yakaanza kumwogopesha,+ viungo vya viuno vyake vikalegea,+ magoti yake yakawa yanagongana.+
44 Lakini akaingia katika maumivu makali, akaendelea kusali kwa bidii zaidi;+ na jasho lake likawa kama matone ya damu yakianguka chini.+