Zaburi 69:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Macho yao na yatiwe giza ili yasione;+Na ufanye viuno vyao viyumbe-yumbe daima.+ Isaya 21:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ndiyo sababu viuno vyangu vimejaa maumivu makali.+ Utungu umenishika, kama utungu wa mwanamke anayezaa.+ Nimevurugika hivi kwamba sisikii; nimeingiwa na wasiwasi hivi kwamba sioni.
3 Ndiyo sababu viuno vyangu vimejaa maumivu makali.+ Utungu umenishika, kama utungu wa mwanamke anayezaa.+ Nimevurugika hivi kwamba sisikii; nimeingiwa na wasiwasi hivi kwamba sioni.