Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Naye akaendelea kusema: “Nenda, nawe uwaambie watu hawa, ‘Sikieni tena na tena, lakini msielewe; na mwone tena na tena, lakini msipate ujuzi wowote.’+

  • Yohana 12:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 “Ameyapofusha macho yao naye ameifanya mioyo yao iwe migumu,+ ili wasione kwa macho yao na kulielewa wazo kwa mioyo yao na kugeuka nami niwaponye.”+

  • Matendo 28:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 ikisema, ‘Nenda kwa watu hawa na kusema: “Kwa kusikia, mtasikia lakini msielewe kamwe; na, kutazama, mtatazama, lakini msione kamwe.+

  • 2 Wakorintho 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini nguvu zao za akili zilitiwa uzito.+ Kwa maana mpaka leo, utaji uleule unadumu bila kuondolewa wakati wa usomaji wa agano la zamani,+ kwa sababu unaondolewa mbali kwa njia ya Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki