9 Naye akaendelea kusema: “Nenda, nawe uwaambie watu hawa, ‘Sikieni tena na tena, lakini msielewe; na mwone tena na tena, lakini msipate ujuzi wowote.’+
40 “Ameyapofusha macho yao naye ameifanya mioyo yao iwe migumu,+ ili wasione kwa macho yao na kulielewa wazo kwa mioyo yao na kugeuka nami niwaponye.”+
14 Lakini nguvu zao za akili zilitiwa uzito.+ Kwa maana mpaka leo, utaji uleule unadumu bila kuondolewa wakati wa usomaji wa agano la zamani,+ kwa sababu unaondolewa mbali kwa njia ya Kristo.+