Kumbukumbu la Torati 28:65 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 65 Na kati ya mataifa hayo hutakuwa na starehe yoyote,+ wala hakutakuwa na mahali popote pa kupumzika kwa ajili ya wayo wa mguu wako; naye Yehova kwa kweli atakupa huko moyo wa kutetemeka+ na kufifia kwa macho+ na kukata tamaa kwa nafsi. Ezekieli 29:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Walipokushika mkono, ulipondwa,+ nawe ulifanya bega lao lote lipasuke. Na walipojitegemeza juu yako, ulivunjika,+ nawe ulifanya viuno vyao vyote vitetemeke.”+ Waroma 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 macho yao na yatiwe giza ili yasione, na sikuzote wauinamishe mgongo wao.”+
65 Na kati ya mataifa hayo hutakuwa na starehe yoyote,+ wala hakutakuwa na mahali popote pa kupumzika kwa ajili ya wayo wa mguu wako; naye Yehova kwa kweli atakupa huko moyo wa kutetemeka+ na kufifia kwa macho+ na kukata tamaa kwa nafsi.
7 Walipokushika mkono, ulipondwa,+ nawe ulifanya bega lao lote lipasuke. Na walipojitegemeza juu yako, ulivunjika,+ nawe ulifanya viuno vyao vyote vitetemeke.”+