Zaburi 118:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ni afadhali kupata kimbilio katika Yehova+Kuliko kumtegemea mtu wa udongo.+ Zaburi 146:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Msiweke tegemeo lenu katika watu wenye vyeo,+Wala katika mtu wa udongo, ambaye hana wokovu wowote.+ Yeremia 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova amesema hivi: “Amelaaniwa yule mtu hodari anayemtegemea mtu wa udongo+ na kwa kweli kuufanya mwili wa nyama kuwa mkono wake,+ na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.+
3 Msiweke tegemeo lenu katika watu wenye vyeo,+Wala katika mtu wa udongo, ambaye hana wokovu wowote.+
5 Yehova amesema hivi: “Amelaaniwa yule mtu hodari anayemtegemea mtu wa udongo+ na kwa kweli kuufanya mwili wa nyama kuwa mkono wake,+ na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.+