Zaburi 40:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwenye furaha ni mwanamume ambaye amemfanya Yehova kuwa tegemeo lake+Na ambaye hakuelekeza uso wake kwa watu wakaidi,Wala kwa wale wanaogeukia uwongo.+ Zaburi 62:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mtegemeeni nyakati zote.+Mimineni moyo wenu mbele zake.+Mungu ni kimbilio letu.+ Sela. Yeremia 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova amesema hivi: “Amelaaniwa yule mtu hodari anayemtegemea mtu wa udongo+ na kwa kweli kuufanya mwili wa nyama kuwa mkono wake,+ na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.+
4 Mwenye furaha ni mwanamume ambaye amemfanya Yehova kuwa tegemeo lake+Na ambaye hakuelekeza uso wake kwa watu wakaidi,Wala kwa wale wanaogeukia uwongo.+
5 Yehova amesema hivi: “Amelaaniwa yule mtu hodari anayemtegemea mtu wa udongo+ na kwa kweli kuufanya mwili wa nyama kuwa mkono wake,+ na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.+