7 Alikazwa sana,+ naye alijiachilia ateswe;+ ingawa hivyo hakufungua kinywa chake. Alikuwa akiletwa kama kondoo machinjioni;+ na kama kondoo-jike ambaye amekuwa bubu mbele ya wakataji-manyoya wake, yeye pia hakufungua kinywa chake.+
10 Lakini Yehova alipendezwa kumponda;+ alimfanya kuwa mgonjwa.+ Ukiifanya nafsi yake kuwa toleo la hatia,+ atauona uzao wake,+ ataongeza siku zake,+ na mapendezi+ ya Yehova yatafanikiwa mkononi mwake.+