Mathayo 27:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Kwa hiyo wapita-njia wakaanza kumtukana,+ wakitikisa+ vichwa vyao Mathayo 27:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Vivyo hivyo pia wakuu wa makuhani pamoja na waandishi na wanaume wazee wakaanza kumfanyia dhihaka na kusema:+ Yohana 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo, wakati huo Pilato akamchukua Yesu na kumpiga mijeledi.+ 1 Petro 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Alipokuwa akitukanwa,+ hakujibu kwa matukano.+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali aliendelea kujiweka mkononi mwa yule+ ambaye anahukumu kwa uadilifu.
41 Vivyo hivyo pia wakuu wa makuhani pamoja na waandishi na wanaume wazee wakaanza kumfanyia dhihaka na kusema:+
23 Alipokuwa akitukanwa,+ hakujibu kwa matukano.+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali aliendelea kujiweka mkononi mwa yule+ ambaye anahukumu kwa uadilifu.