31 Vivyo hivyo pia wakuu wa makuhani walikuwa wakimdhihaki katikati yao wenyewe pamoja na waandishi na kusema: “Aliwaokoa wengine; hawezi kujiokoa mwenyewe!+
35 Na wale watu wakasimama wakitazama.+ Lakini wale watawala walikuwa wakicheka kwa dharau, wakisema:+ “Aliwaokoa wengine; mwacheni ajiokoe mwenyewe, ikiwa huyu ndiye Kristo wa Mungu, Yule Aliyechaguliwa.”+