Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 50:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mgongo wangu niliwapa washambuliaji, na mashavu+ yangu nikawapa wale wenye kung’oa nywele. Uso wangu sikuuficha kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na mate.+

  • Mathayo 20:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 na watamtia mikononi mwa watu wa mataifa wamdhihaki na kumpiga mijeledi na kumtundika+ juu ya mti, na siku ya tatu atafufuliwa.”+

  • Mathayo 27:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ndipo akawafungulia Baraba, lakini akaagiza Yesu apigwe mijeledi+ na kumtoa ili atundikwe mtini.+

  • Marko 15:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo Pilato, akitaka kuuridhisha umati,+ akawafungulia Baraba, na, baada ya kuagiza Yesu apigwe mijeledi, akamtoa ili atundikwe mtini.+

  • Luka 18:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 na baada ya kumpiga mijeledi+ watamuua,+ lakini katika siku ya tatu atafufuka.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki