Yona 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sasa Yehova akamweka samaki mkubwa ammeze Yona,+ naye Yona akawa katika tumbo la samaki huyo siku tatu mchana na usiku.+ Mathayo 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 na watamtia mikononi mwa watu wa mataifa wamdhihaki na kumpiga mijeledi na kumtundika+ juu ya mti, na siku ya tatu atafufuliwa.”+ Marko 10:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 nao watamdhihaki, watamtemea mate, watampiga mijeledi na kumuua, lakini siku tatu baadaye atafufuka.”+ Luka 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 lakini akasema: “Mwana wa binadamu lazima apatwe na mateso mengi na kukataliwa na wanaume wazee na wakuu wa makuhani na waandishi, na kuuawa,+ na siku ya tatu afufuliwe.”+
17 Sasa Yehova akamweka samaki mkubwa ammeze Yona,+ naye Yona akawa katika tumbo la samaki huyo siku tatu mchana na usiku.+
19 na watamtia mikononi mwa watu wa mataifa wamdhihaki na kumpiga mijeledi na kumtundika+ juu ya mti, na siku ya tatu atafufuliwa.”+
34 nao watamdhihaki, watamtemea mate, watampiga mijeledi na kumuua, lakini siku tatu baadaye atafufuka.”+
22 lakini akasema: “Mwana wa binadamu lazima apatwe na mateso mengi na kukataliwa na wanaume wazee na wakuu wa makuhani na waandishi, na kuuawa,+ na siku ya tatu afufuliwe.”+