Mathayo 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 na watamtia mikononi mwa watu wa mataifa wamdhihaki na kumpiga mijeledi na kumtundika+ juu ya mti, na siku ya tatu atafufuliwa.”+ Luka 18:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 na baada ya kumpiga mijeledi+ watamuua,+ lakini katika siku ya tatu atafufuka.”+ Matendo 10:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Mungu alimfufua Huyu katika siku ya tatu na kumfunua,+ 1 Wakorintho 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 na kwamba alizikwa,+ ndiyo, kwamba alifufuliwa+ siku ya tatu+ kulingana na Maandiko;+
19 na watamtia mikononi mwa watu wa mataifa wamdhihaki na kumpiga mijeledi na kumtundika+ juu ya mti, na siku ya tatu atafufuliwa.”+