Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 17:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 nao watamuua, na siku ya tatu atafufuliwa.”+ Kwa hiyo wakahuzunika sana.+

  • Mathayo 28:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hayupo hapa, kwa maana alifufuliwa,+ kama alivyosema. Njooni, tazameni mahali alipokuwa amelala.

  • Marko 10:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 nao watamdhihaki, watamtemea mate, watampiga mijeledi na kumuua, lakini siku tatu baadaye atafufuka.”+

  • Luka 18:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 na baada ya kumpiga mijeledi+ watamuua,+ lakini katika siku ya tatu atafufuka.”+

  • Matendo 10:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Mungu alimfufua Huyu katika siku ya tatu na kumfunua,+

  • 1 Wakorintho 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na kwamba alizikwa,+ ndiyo, kwamba alifufuliwa+ siku ya tatu+ kulingana na Maandiko;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki