Mathayo 17:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 nao watamuua, na siku ya tatu atafufuliwa.”+ Kwa hiyo wakahuzunika sana.+ Mathayo 28:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hayupo hapa, kwa maana alifufuliwa,+ kama alivyosema. Njooni, tazameni mahali alipokuwa amelala. Marko 10:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 nao watamdhihaki, watamtemea mate, watampiga mijeledi na kumuua, lakini siku tatu baadaye atafufuka.”+ Luka 18:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 na baada ya kumpiga mijeledi+ watamuua,+ lakini katika siku ya tatu atafufuka.”+ Matendo 10:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Mungu alimfufua Huyu katika siku ya tatu na kumfunua,+ 1 Wakorintho 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 na kwamba alizikwa,+ ndiyo, kwamba alifufuliwa+ siku ya tatu+ kulingana na Maandiko;+
34 nao watamdhihaki, watamtemea mate, watampiga mijeledi na kumuua, lakini siku tatu baadaye atafufuka.”+