Mathayo 16:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Tangu wakati huo na kuendelea Yesu Kristo akaanza kuwaonyesha wanafunzi wake kwamba ni lazima aende Yerusalemu na kupatwa na mambo mengi kutoka kwa wanaume wazee na wakuu wa makuhani na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu afufuliwe.+ Mathayo 17:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 nao watamuua, na siku ya tatu atafufuliwa.”+ Kwa hiyo wakahuzunika sana.+ Luka 24:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 [[Hayupo hapa, bali amefufuliwa.]]+ Kumbukeni jinsi alivyowaambia alipokuwa angali katika Galilaya,+ 1 Wakorintho 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 na kwamba alizikwa,+ ndiyo, kwamba alifufuliwa+ siku ya tatu+ kulingana na Maandiko;+
21 Tangu wakati huo na kuendelea Yesu Kristo akaanza kuwaonyesha wanafunzi wake kwamba ni lazima aende Yerusalemu na kupatwa na mambo mengi kutoka kwa wanaume wazee na wakuu wa makuhani na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu afufuliwe.+
6 [[Hayupo hapa, bali amefufuliwa.]]+ Kumbukeni jinsi alivyowaambia alipokuwa angali katika Galilaya,+