Mathayo 28:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nanyi nendeni upesi mkawaambie wanafunzi wake kwamba amefufuliwa+ kutoka kwa wafu, na, tazama! atawatangulia kuingia Galilaya;+ huko mtamwona. Tazama! Nimewaambia ninyi.”+ Marko 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini nendeni, mkawaambie wanafunzi wake na Petro, ‘Yeye anawatangulia kuingia Galilaya;+ huko mtamwona, kama vile alivyowaambia ninyi.’ ”+
7 Nanyi nendeni upesi mkawaambie wanafunzi wake kwamba amefufuliwa+ kutoka kwa wafu, na, tazama! atawatangulia kuingia Galilaya;+ huko mtamwona. Tazama! Nimewaambia ninyi.”+
7 Lakini nendeni, mkawaambie wanafunzi wake na Petro, ‘Yeye anawatangulia kuingia Galilaya;+ huko mtamwona, kama vile alivyowaambia ninyi.’ ”+