Mathayo 26:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Lakini baada ya kufufuliwa nitawatangulia kuingia Galilaya.”+ Mathayo 28:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nanyi nendeni upesi mkawaambie wanafunzi wake kwamba amefufuliwa+ kutoka kwa wafu, na, tazama! atawatangulia kuingia Galilaya;+ huko mtamwona. Tazama! Nimewaambia ninyi.”+
7 Nanyi nendeni upesi mkawaambie wanafunzi wake kwamba amefufuliwa+ kutoka kwa wafu, na, tazama! atawatangulia kuingia Galilaya;+ huko mtamwona. Tazama! Nimewaambia ninyi.”+