Mathayo 26:67 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 67 Ndipo wakamtemea mate usoni+ na kumpiga+ ngumi. Wengine wakampiga makofi usoni,+ Marko 14:65 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 65 Na wengine wakaanza kumtemea mate+ na kuufunika uso wake wote na kumpiga ngumi na kumwambia: “Toa unabii!” Na, wakimpiga makofi usoni, watumishi wa mahakama wakamchukua.+
65 Na wengine wakaanza kumtemea mate+ na kuufunika uso wake wote na kumpiga ngumi na kumwambia: “Toa unabii!” Na, wakimpiga makofi usoni, watumishi wa mahakama wakamchukua.+