Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Maombolezo 3:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Acha ampe shavu lake yule anayempiga.+ Acha apate shibe yake ya shutuma.+

  • Mika 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Wakati huu unajikatakata,+ Ee binti uliyevamiwa; yeye ametuzingira sisi.+ Watalipiga kwa fimbo shavu la mwamuzi wa Israeli.+

  • Luka 22:63
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 Sasa wale wanaume waliokuwa wakimlinda kifungoni wakaanza kumdhihaki,+ wakimpiga;+

  • Yohana 18:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Baada ya kusema mambo hayo, mmoja wa maofisa aliyekuwa amesimama kando akampiga Yesu kofi+ usoni na kusema: “Je, hivyo ndivyo unavyomjibu mkuu wa makuhani?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki