Maombolezo 3:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Acha ampe shavu lake yule anayempiga.+ Acha apate shibe yake ya shutuma.+ Mika 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Wakati huu unajikatakata,+ Ee binti uliyevamiwa; yeye ametuzingira sisi.+ Watalipiga kwa fimbo shavu la mwamuzi wa Israeli.+ Luka 22:63 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 Sasa wale wanaume waliokuwa wakimlinda kifungoni wakaanza kumdhihaki,+ wakimpiga;+ Yohana 18:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Baada ya kusema mambo hayo, mmoja wa maofisa aliyekuwa amesimama kando akampiga Yesu kofi+ usoni na kusema: “Je, hivyo ndivyo unavyomjibu mkuu wa makuhani?”
5 “Wakati huu unajikatakata,+ Ee binti uliyevamiwa; yeye ametuzingira sisi.+ Watalipiga kwa fimbo shavu la mwamuzi wa Israeli.+
22 Baada ya kusema mambo hayo, mmoja wa maofisa aliyekuwa amesimama kando akampiga Yesu kofi+ usoni na kusema: “Je, hivyo ndivyo unavyomjibu mkuu wa makuhani?”