Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Ndipo Yesu akawaambia: “Ninyi nyote mtakwazika kuhusiana nami usiku huu, kwa maana imeandikwa, ‘Nitampiga mchungaji, nao kondoo wa kundi watatawanyika huku na huku.’+

  • Mathayo 26:67
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 67 Ndipo wakamtemea mate usoni+ na kumpiga+ ngumi. Wengine wakampiga makofi usoni,+

  • Mathayo 27:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nao wakamtemea mate+ na kuuchukua ule utete na kuanza kumpiga kichwani.

  • Marko 14:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na Yesu akawaambia: “Ninyi nyote mtakwazika, kwa sababu imeandikwa, ‘Nitampiga mchungaji,+ nao kondoo watatawanyika huku na huku.’+

  • Yohana 18:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Baada ya kusema mambo hayo, mmoja wa maofisa aliyekuwa amesimama kando akampiga Yesu kofi+ usoni na kusema: “Je, hivyo ndivyo unavyomjibu mkuu wa makuhani?”

  • Yohana 19:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 nao wakaanza kumjia na kusema: “Siku njema, ewe Mfalme wa Wayahudi!” Pia wakawa wakimpiga makofi usoni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki