Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 49:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Yehova, Mkombozi wa Israeli,+ Mtakatifu wake, amemwambia hivi yeye ambaye amedharauliwa katika nafsi,+ yeye ambaye amechukiwa na taifa,+ mtumishi wa watawala:+ “Wafalme wataona na hakika watasimama,+ na wakuu, nao watainama, kwa sababu ya Yehova, ambaye ni mwaminifu,+ Mtakatifu wa Israeli, anayekuchagua.”+

  • Isaya 50:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mgongo wangu niliwapa washambuliaji, na mashavu+ yangu nikawapa wale wenye kung’oa nywele. Uso wangu sikuuficha kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na mate.+

  • Mathayo 26:67
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 67 Ndipo wakamtemea mate usoni+ na kumpiga+ ngumi. Wengine wakampiga makofi usoni,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki