- 
	                        
            
            Isaya 49:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
7 Yehova, Mkombozi wa Israeli,+ Mtakatifu wake, amemwambia hivi yeye ambaye amedharauliwa katika nafsi,+ yeye ambaye amechukiwa na taifa,+ mtumishi wa watawala:+ “Wafalme wataona na hakika watasimama,+ na wakuu, nao watainama, kwa sababu ya Yehova, ambaye ni mwaminifu,+ Mtakatifu wa Israeli, anayekuchagua.”+
 
 -