5 Lakini alikuwa akichomwa kwa silaha+ kwa ajili ya ukosaji wetu;+ alikuwa akipondwa kwa ajili ya makosa yetu.+ Adhabu iliyokusudiwa kuleta amani yetu ilikuwa juu yake,+ na kwa sababu ya majeraha+ yake sisi tumeponywa.+
26 “Na baada ya yale majuma 62 Masihi atakatiliwa mbali,+ bila kuwa na chochote kwa ajili yake.+
“Na watu wa kiongozi anayekuja wataharibu+ jiji na mahali patakatifu.+ Na mwisho wake utakuwa kwa mafuriko. Na mpaka ule mwisho kutakuwa na vita; kilichoamuliwa ni ukiwa.+
7 “Ee upanga, amka juu ya mchungaji+ wangu, juu ya mwanamume ambaye ni mwenzangu,”+ asema Yehova wa majeshi. “Mpige mchungaji,+ na wale wa kundi watawanyike;+ nami nitageuza mkono wangu juu ya wale wasio na maana.”+