Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nguvu zangu zimekauka kama kigae cha udongo,+

      Na ulimi wangu umefanywa ushikamane na ufizi wangu;+

      Nawe unaniweka katika mavumbi ya kifo.+

  • Isaya 53:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa sababu ya kizuizi na hukumu yeye aliondolewa mbali;+ na ni nani atakayejishughulisha na habari za kizazi chake?+ Kwa maana aliondolewa+ katika nchi ya walio hai.+ Alipata pigo kwa sababu ya ukosaji wa watu wangu.+

  • Isaya 53:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa sababu hiyo nitampa fungu katikati ya wengi,+ naye atagawa nyara pamoja na wenye nguvu,+ kwa sababu aliimwaga nafsi yake mpaka kufa,+ naye alihesabiwa pamoja na wakosaji;+ naye mwenyewe aliichukua dhambi ya watu wengi,+ aliingilia kati kwa ajili ya wakosaji.+

  • Mathayo 26:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mnajua kwamba siku mbili  tangu sasa kutakuwa na pasaka,+ naye Mwana wa binadamu atatolewa ili atundikwe mtini.”+

  • Luka 24:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Je, haikuwa lazima Kristo kupatwa+ na mambo haya na kuingia katika utukufu wake?”+

  • 1 Wakorintho 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana niliwapa ninyi, kati ya mambo ya kwanza, yale niliyopokea+ pia, kwamba Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu kulingana na Maandiko;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki