Mathayo 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Kitabu cha historia+ ya Yesu Kristo, mwana wa Daudi,+ mwana wa Abrahamu:+ Luka 3:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Tena, Yesu mwenyewe, alipoanza kazi yake,+ alikuwa na umri wa karibu miaka 30,+ akiwa mwana,+ kama alivyoonwa,wa Yosefu,+ mwana wa Heli, Matendo 8:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Wakati wa kufedheheshwa kwake hukumu iliondolewa mbali naye.+ Ni nani atakayeeleza kirefu habari za kizazi chake? Kwa sababu uhai wake unaondolewa kutoka duniani.”+
23 Tena, Yesu mwenyewe, alipoanza kazi yake,+ alikuwa na umri wa karibu miaka 30,+ akiwa mwana,+ kama alivyoonwa,wa Yosefu,+ mwana wa Heli, Matendo 8:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Wakati wa kufedheheshwa kwake hukumu iliondolewa mbali naye.+ Ni nani atakayeeleza kirefu habari za kizazi chake? Kwa sababu uhai wake unaondolewa kutoka duniani.”+
33 Wakati wa kufedheheshwa kwake hukumu iliondolewa mbali naye.+ Ni nani atakayeeleza kirefu habari za kizazi chake? Kwa sababu uhai wake unaondolewa kutoka duniani.”+