1 Mambo ya Nyakati 17:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘“Na itakuwa kwamba siku zako zitakapokuwa zimetimia ili uende kuwa na mababu zako,+ mimi nitainua uzao wako baada yako ambao utakuwa mmoja wa wana wako,+ nami kwa kweli nitaufanya imara ufalme wake.+ Mathayo 9:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yesu alipokuwa akipita kutoka huko, wanaume wawili vipofu+ wakamfuata, wakipaaza sauti na kusema: “Uturehemu,+ Mwana wa Daudi.” Luka 1:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Huyo atakuwa mkuu+ naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Zaidi;+ na Yehova Mungu atampa kiti cha ufalme+ cha Daudi baba yake,+
11 “‘“Na itakuwa kwamba siku zako zitakapokuwa zimetimia ili uende kuwa na mababu zako,+ mimi nitainua uzao wako baada yako ambao utakuwa mmoja wa wana wako,+ nami kwa kweli nitaufanya imara ufalme wake.+
27 Yesu alipokuwa akipita kutoka huko, wanaume wawili vipofu+ wakamfuata, wakipaaza sauti na kusema: “Uturehemu,+ Mwana wa Daudi.”
32 Huyo atakuwa mkuu+ naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Zaidi;+ na Yehova Mungu atampa kiti cha ufalme+ cha Daudi baba yake,+