-
Mathayo 9:27Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
27 Yesu alipokuwa akipita kutoka huko, wanaume wawili vipofu wakamfuata, wakipaaza kilio na kusema: “Uwe na rehema juu yetu, Mwana wa Daudi.”
-