7 “Ee upanga, amka juu ya mchungaji+ wangu, juu ya mwanamume ambaye ni mwenzangu,”+ asema Yehova wa majeshi. “Mpige mchungaji,+ na wale wa kundi watawanyike;+ nami nitageuza mkono wangu juu ya wale wasio na maana.”+
52 Ni yupi kati ya manabii ambaye mababu zenu hawakumtesa?+ Ndiyo, waliwaua+ wale waliotangaza kimbele kuhusu kuja kwa Aliye mwadilifu,+ ambaye ninyi sasa mmemsaliti na kumuua,+
26 Kama sivyo, ingekuwa lazima ateseke mara nyingi tangu kuwekwa msingi+ wa ulimwengu. Lakini sasa amejifunua+ mara moja+ kwa wakati wote kwenye umalizio wa mifumo ya mambo+ ili kuondolea mbali dhambi kupitia dhabihu yake mwenyewe.+