Mathayo 16:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Tangu wakati huo na kuendelea Yesu Kristo akaanza kuwaonyesha wanafunzi wake kwamba ni lazima aende Yerusalemu na kupatwa na mambo mengi kutoka kwa wanaume wazee na wakuu wa makuhani na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu afufuliwe.+ Mathayo 20:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 na watamtia mikononi mwa watu wa mataifa wamdhihaki na kumpiga mijeledi na kumtundika+ juu ya mti, na siku ya tatu atafufuliwa.”+ Mathayo 27:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ndipo akawafungulia Baraba, lakini akaagiza Yesu apigwe mijeledi+ na kumtoa ili atundikwe mtini.+ Marko 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo Pilato, akitaka kuuridhisha umati,+ akawafungulia Baraba, na, baada ya kuagiza Yesu apigwe mijeledi, akamtoa ili atundikwe mtini.+ Yohana 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo, wakati huo akamtia mikononi mwao, wakamtundike mtini.+ Basi wakamchukua Yesu.
21 Tangu wakati huo na kuendelea Yesu Kristo akaanza kuwaonyesha wanafunzi wake kwamba ni lazima aende Yerusalemu na kupatwa na mambo mengi kutoka kwa wanaume wazee na wakuu wa makuhani na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu afufuliwe.+
19 na watamtia mikononi mwa watu wa mataifa wamdhihaki na kumpiga mijeledi na kumtundika+ juu ya mti, na siku ya tatu atafufuliwa.”+
15 Ndipo Pilato, akitaka kuuridhisha umati,+ akawafungulia Baraba, na, baada ya kuagiza Yesu apigwe mijeledi, akamtoa ili atundikwe mtini.+