Luka 18:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 na baada ya kumpiga mijeledi+ watamuua,+ lakini katika siku ya tatu atafufuka.”+ Yohana 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo, wakati huo Pilato akamchukua Yesu na kumpiga mijeledi.+