Isaya 50:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mgongo wangu niliwapa washambuliaji, na mashavu+ yangu nikawapa wale wenye kung’oa nywele. Uso wangu sikuuficha kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na mate.+ Mathayo 5:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi: Msimpinge yeye aliye mwovu; bali yeyote anayekupiga kofi kwenye shavu+ lako la kuume, mgeuzie lile lingine pia. Yohana 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 nao wakaanza kumjia na kusema: “Siku njema, ewe Mfalme wa Wayahudi!” Pia wakawa wakimpiga makofi usoni.+ Matendo 23:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo kuhani mkuu Anania akawaagiza wale waliosimama kando yake wampige+ kinywani.
6 Mgongo wangu niliwapa washambuliaji, na mashavu+ yangu nikawapa wale wenye kung’oa nywele. Uso wangu sikuuficha kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na mate.+
39 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi: Msimpinge yeye aliye mwovu; bali yeyote anayekupiga kofi kwenye shavu+ lako la kuume, mgeuzie lile lingine pia.
3 nao wakaanza kumjia na kusema: “Siku njema, ewe Mfalme wa Wayahudi!” Pia wakawa wakimpiga makofi usoni.+