Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 24:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Usiseme: “Nitamtendea kama vile tu alivyonitendea.+ Nitamlipa kila mtu kulingana na tendo lake.”+

  • Isaya 50:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mgongo wangu niliwapa washambuliaji, na mashavu+ yangu nikawapa wale wenye kung’oa nywele. Uso wangu sikuuficha kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na mate.+

  • Maombolezo 3:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Acha ampe shavu lake yule anayempiga.+ Acha apate shibe yake ya shutuma.+

  • Luka 6:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Anayekupiga kwenye shavu+ moja, mgeuzie lile lingine pia; na anayechukua+ vazi lako la nje, usimzuilie hata lile vazi la ndani.

  • Yohana 18:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Baada ya kusema mambo hayo, mmoja wa maofisa aliyekuwa amesimama kando akampiga Yesu kofi+ usoni na kusema: “Je, hivyo ndivyo unavyomjibu mkuu wa makuhani?”

  • Waroma 12:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Msimlipe yeyote uovu kwa uovu.+ Fanyeni mambo mema machoni pa watu wote.

  • 1 Petro 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Alipokuwa akitukanwa,+ hakujibu kwa matukano.+ Alipokuwa akiteseka,+ hakutoa vitisho, bali aliendelea kujiweka mkononi mwa yule+ ambaye anahukumu kwa uadilifu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki