Zaburi 123:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Utuonyeshe kibali, Ee Yehova, utuonyeshe kibali;+Kwa maana tumeshiba sana dharau.+ Isaya 50:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mgongo wangu niliwapa washambuliaji, na mashavu+ yangu nikawapa wale wenye kung’oa nywele. Uso wangu sikuuficha kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na mate.+
6 Mgongo wangu niliwapa washambuliaji, na mashavu+ yangu nikawapa wale wenye kung’oa nywele. Uso wangu sikuuficha kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na mate.+