Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zekaria 13:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Ee upanga, amka juu ya mchungaji+ wangu, juu ya mwanamume ambaye ni mwenzangu,”+ asema Yehova wa majeshi. “Mpige mchungaji,+ na wale wa kundi watawanyike;+ nami nitageuza mkono wangu juu ya wale wasio na maana.”+

  • Marko 14:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na Yesu akawaambia: “Ninyi nyote mtakwazika, kwa sababu imeandikwa, ‘Nitampiga mchungaji,+ nao kondoo watatawanyika huku na huku.’+

  • Yohana 16:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Tazameni! Saa inakuja, kwa kweli, imekuja, wakati mtakapotawanyika na kwenda kila mmoja kwenye nyumba+ yake nanyi mtaniacha peke yangu; na bado siko peke yangu, kwa sababu Baba yuko pamoja nami.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki