Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 41:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 wakaja watu kutoka Shekemu,+ kutoka Shilo+ na kutoka Samaria,+ watu 80 huku ndevu zao zikiwa zimenyolewa+ na mavazi yao yakiwa yameraruliwa nao wakiwa wamejitia mikato,+ na mkononi mwao walikuwa na toleo la nafaka na ubani+ ili wavilete katika nyumba ya Yehova.

  • Yeremia 48:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Kwa maana kuna upara+ juu ya vichwa vyote, na ndevu zote zimekatwa.+ Kuna mikato+ juu ya mikono yote, na juu ya viuno kuna nguo za magunia!’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki