Mambo ya Walawi 19:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “‘Na msijikatekate mwili wenu kwa ajili ya nafsi iliyokufa,+ wala msijitie alama ya chanjo. Mimi ni Yehova. 1 Wafalme 18:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Nao wakaanza kuita kwa sauti yao yote, wakijikatakata+ kwa visu na mikuki kulingana na desturi yao, mpaka walipojitiririsha damu. Yeremia 47:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Upara+ utakuja Gaza.+ Ashkeloni+ limenyamazishwa. Ee mabaki ya nchi yao tambarare ya chini, utaendelea kujitia mikato mpaka wakati gani?+
28 “‘Na msijikatekate mwili wenu kwa ajili ya nafsi iliyokufa,+ wala msijitie alama ya chanjo. Mimi ni Yehova.
28 Nao wakaanza kuita kwa sauti yao yote, wakijikatakata+ kwa visu na mikuki kulingana na desturi yao, mpaka walipojitiririsha damu.
5 Upara+ utakuja Gaza.+ Ashkeloni+ limenyamazishwa. Ee mabaki ya nchi yao tambarare ya chini, utaendelea kujitia mikato mpaka wakati gani?+