Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “‘Na msijikatekate mwili wenu kwa ajili ya nafsi iliyokufa,+ wala msijitie alama ya chanjo. Mimi ni Yehova.

  • 1 Wafalme 18:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nao wakaanza kuita kwa sauti yao yote, wakijikatakata+ kwa visu na mikuki kulingana na desturi yao, mpaka walipojitiririsha damu.

  • Yeremia 47:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Upara+ utakuja Gaza.+ Ashkeloni+ limenyamazishwa. Ee mabaki ya nchi yao tambarare ya chini, utaendelea kujitia mikato mpaka wakati gani?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki